Mungu wa Ajabu
Mungu ni mkuu na wa kutisha. Jina lake ni la Ajabu.
André CRONJE
Translated by Winnie Ngimor
Hakimiliki
Ina leseni kwa ajili ya uboreshaji binafsi na inaweza kutumika kwa ujenzi wa maadili na kutia motisha. Hakuna sehemu inayoweza kunakiliwa tena kwa faida au kuuza tena.
André Cronje © 2020 Hakimiliki
Sanaa ya Dhana na André
Heshima maalumu kwa King James.
Mwandishi
Andre ni mzaliwa wa Afrika Kusini mzao wa Huguenot anayeishi Paris, Ufaransa. Yeye ni msanii, mwandishi, na mmiliki wa duka mtandaoni la nguo za Kikristo. Kama mfinyanzi aumbavyo udongo wake, ndivyo anavyounda na kuboresha mawazo yake kuhusu mada anuwai, kwa sanaa ya dhana, na fasihi ya kinabii, akisisitiza maswala ya kijamii, kimaadili, na kiroho na nuru ya Yesu Kristo, ambaye alikufa na kufufuka, akisamehe dhambi, akiponya wagonjwa, na ni mtoaji wa uzima wa milele, kwa yeyote anayeamini na kubatizwa kwa jina lake.
Yaliyomo
Hakimiliki
Mwandishi
1. Wimbo wa Yesu
2. Ni Siku Nzuri
3. Msifuni Yah
4. Yesu Rafiki Yangu
5. Hakuna Kisichowezekana
6. Imba na Uombe
7. Yeye ni Mkuu Zaidi